Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maandamano Sierra Leone yalikuwa yakushtukiza

Ijumaa , 19th Aug , 2022

Rais wa Sierra Leone Julius Maada Bio amesema kwamba  maandamano ya wiki iliyopita dhidi ya serikali yake yalikua ya kushtukiza na kupelekea  Polisi kutumia nguvu nyingi

Maandamano hayo yalipelekea vifo vya watu takribani 25 wakiwemo Askari Polisi 5

Raia wa nchi hiyo walikua wanaandamana wakipinga maisha kuwa magumu, rushwa na ukatili wa polisi wa nchi hiyo 

Rais Julius Maada Bio  amesema kuwa licha ya baadhi ya askari polisi kutokua na weledi lakini maandamano hayo yalikuja kwa kushtusha na kupeleka nguvu nyingi kutumika

Rais  Bio ameulaumu upinzani    wan chi hiyo kwa kujaribu kuitikisa serikali yake , madai ambayo yanapingwa na upinzani wa nchi hiyo  

Ameongeza kuwa uchunguzi zaidi unaendelea ili kujua ukweli wa maandamano hayo 

Amesema baadhi ya waandamanaji walikua wanawachochea watu kufanya mauaji na kuwashinikiza wanajeshi kuingia ikulu ya nchi hiyo 

Rais huyo ametetea maamuzi yake ya kufanya mabadiliko kwenye jeshi la nchi hiyo baada ya maandamano hayo huku akikanusha tishio la kupinduliwa

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava