Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Madereva Lindi watakiwa kuwa makini barabarani

Jumatano , 7th Dec , 2022

Jeshi la Polisi Lindi limewataka madereva kuwa makini barabarani ili kujiepusha na ajali hasa katika kipindi hiki cha kuelekea sikukuu za krismasi na mwaka mpya

Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Lindi Kamishna Msaidizi Pilly Mande  amesisitiza Jeshi la polisi kufanya uchunguzi wa magari kwa kushirikiana na madereva ili kuhakikisha abiria wapo kwenye vyombo salama huku akitoa takwimu ya makossa ya usalama barabarani mkoani Lindi kuwa 3273 kwa mwaka 2021/2022.

Kamishna Pilly Mande anasema, abiria husafiri ili wafike wanapoelekea salama na hasa katika msimu huu hutembelea sehemu mbalimbali kusherehekea sikukuu na si matarajio yao kupata ajali ambazo mara kadhaa huwa zinasababishwa na uzembe wa madereva.

Aidha, akizungumza na wanahabari ofisini kwake amekiri kuwepo kwa matukio ya uhalifu kama umiliki wa silaha, kesi za mauaji, uuzaji wa dawa za kulevya na pombe haramu na wizi wa nyara za serikali kama nyaya za umeme
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava