Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Magufuli kuunguruma Arusha mjini kesho

Jumatatu , 5th Oct , 2015

Mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli Kesho ataunguruma katika mkoa wa Arusha, kwenye viwanja vya mpira Sheikh Amir Abeid, akitokea wilayani karatu, ambako pia leo atafanya mkutano wa hadhara wa kampeni.

Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli

Akizungumzia ziara hiyo katibu wa CCM, mkoa wa Arusha Alphonce Kinamhala, amesema Dk. Mgufuli alipokelewa katika Kijiji cha Kansay wilayani karatu jana, akitokea wilayani Mbulu mkoa wa Manyara, alikwenda moja kwa moja, kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni mjini Karatu.

Kinamhala, amesema kesho asubuhi Dk. Magufuli ataelekea wilayani Monduli ambapo atafanya mkutano wa hadhara wa kampeni eneo la Mto wa Mbu na mara baada ya mkutano huo atafanya mkutano mwingine mkubwa wa hadhara, kwenye ngome ya Lowassa Mjini Monduli, kisha kuelekea wilayani Longido kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni.

Amesema mara baada ya mkutano huo ataelekea jijini Arusha, kwa ajili ya mkutano mwingine wa hadhara wa kampeni utakaofanyika katika viwanja wa Sheikh Amir Abeid majira ya saa 8:00 mchana na mara baada ya mkutano huo ataelekea wilayani Arumeru ambapo atafanya mkutano wa hadhara katika viwanja vya Ngarasero eneo la Usa River.

Baada ya hapo Dk. Magufuli ataondoka kuelekea Sanya Juu, mkoani Kilimanjaro kwenye mkutano wa hadahara.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava