Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Magufuli, Lowassa wachuana vikali mikoani

Ijumaa , 11th Sep , 2015

Kampeni za kuwania Urais kupita vyama mbalimbali nchini zimeendelea jana huku wapinzani wawili wakubwa wakinyanganyiro hicho wakiendelea na mikutano yao katika mikoa tofauti

Mgombea Urais wa kupitia CCM John Pombe Magufuli na Mgombea Urais kupita UKAWA Mh. Edward Lowassa

Mgombea Urais wa kupitia CCM John Pombe Magufuli yeye alifanya ziara ya kuzunguka baadhi ya vijijini mkoani Mara na mgombea Urais kupita UKAWA Mh. Edward Lowassa alikuwa Wilayani Gairo Mkoani Morogoro.

Akiwa Mkoani Mara Wilayani Bunda Mgombea Urais kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi Mh. John Pombe Magufuli alisema serikali yake kamwe haitavumilia viongozi wazembe ikiwemo kuwawajibisha watakabainika kuacha kutumia fedha za miradi ya maendeleo ipasavyo.

Aidha Mh. Magufuli ameongeza kuwa asipohubiri amani katika mikutano yake basi atakuwa amekosa sifa za Urais hivyo ameahidi kuhubiri amani ya nchi kwenye kila mkutano atakoufanya.

Kwa upande wake mgombea wa Urais wa UKAWA kupita chama cha Demokrasia na Maendele CHADEMA Mh. Edward Lowassa akiwa mkoani Morogoro wilayani Gairo amesema endapo akiingia madarakani atatatua suala la Uhaba wa maji katika wilaya hiyo.

Mh. Lowassa amewataka wakazi wa mkoa huo wamchague mbunge ambaye ataweza kufanya naye kazi ili kuweza kutatua kero nyingine mbalimbali zinazowakabili wakazi wa eneo hilo.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali