Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mahakama hazijapokwa mamlaka -Wakili Malata

Alhamisi , 6th Aug , 2020

Wakili Mkuu wa Serikali Gabriel Malata amesema kuwa Mahakama nchini hazijapokwa mamlaka ya kusikilza maombi ya dhamana kwa makosa ambayo yanaruhusu kutolewa dhamana.

Wakili Mkuu wa Serikali Gabriel Malata akisisitiza jambo wakati akizungumza na wa habari leo.

Wakili Mkuu wa Serikali Gabriel Malata amesema kuwa Mahakama nchini hazijapokwa mamlaka ya kusikilza maombi ya dhamana kwa makosa ambayo yanaruhusu kutolewa dhamana.

Amesema kuwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inatambua pia haki ya jamii kulindwa dhidi ya madhara yanayoweza kutokana na baadhi ya vitendo vinavyohusisha makosa ya jinai kama vile mauaji, utakajishaji fedha, ugaidi na usafirishaji na uuzaji wa dawa za kulevya.

Akizungumza na vyombo vya habari Wakili Mkuu wa Serikali Gabriel Malata amesema kuwa kesi iliyofunguliwa na Bwana Dickson Sanga dhidi ya serikali ilishindwa kihalali kwani lazima jamii pia ilindwe ili kulinda Afya, Ustawi wa Jamii na kukuza uchumi.

Jana Agosti 5, 2020 Mahakama ya Rufaa ya Tanzania ilitoa uamuzi wa Rufaa Na. 175/2020 iliyokatwa na serikali dhidi ya Dickson Paul Sanga kufuatia uamuzi wa Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu mwenendo wa mashauri ya jinai kinachozuia dhamana kwa baadhi ya makosa makubwa ya jinai.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe