Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mahakama yahoji upelelezi kesi ya Tito Magoti

Jumatano , 19th Feb , 2020

Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam, Janeth Mtega, ameutaka upande wa mashtaka kueleza ni wapi umefikia upelelezi wa kesi inayomkabili Ofisa wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC), Tito Magoti na mwenzake Theodory Giyan.

Theodory Giyan na Tito Magoti wakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Hakimu Mtega amehoji suala hilo leo Februari 19, 2020, wakati kesi hiyo ilipofikishwa mahakamni hapo kwa ajili ya kutajwa na kusema kuwa upande wa mashtka unapaswa kuheshimu amri ya Mahakama sio kila mara wadai upelelezi wa shauri hilo haujakamilika.

Wakili Mtega ameeleza kuwa mnamo Februari 5, 2020, Mahakama hiyo iliutaka upande wa mashtaka wakirudi tena waeleze upelelezi wa shauri hilo ulipofikiwa kwa lengo la kujua unakwenda mbele au umesimama.

Kesi hiyo imeahirishwa hadi Machi 04, 2020.

Tito na mwenzake Theodory wanakabiliwa na mashtka matatu, ikiwemo kushiriki genge la uhalifu, kumiliki programu ya kompyuta pamoja na utakatishaji wa fedha shilingi Milioni 17, makosa ambayo wanadaiwa kuyatenda kati ya Februari 1 na Disemba 17, 2019 katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava