Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mahindi yenye viini lishe bora yaadimika

Jumatano , 20th Aug , 2014

Mtafiti wa kilimo wa Selian Rose Ubwe amesema kwa sasa kuna changamoto kubwa ya upatikanaji wa mbegu za mahindi ya viini lishe kutokana umuhimu wa matumi ya mbegu hizo kwa jamii kwa sasa.

Bi. Umbwe amesema kuwa ongezeko la mahitaji ya mbegu za mahindi lishe ni kubwa kutokana nauelewa mkubwa wa faidi za matumizi ya mbegu hizo huku huku upatikanaji wake wa sasa ukikubwa na changamoto kubwa.

Kwa upande wake mmoja wa wasambazaji wa mbegu zenye viini lishe Peter Mutisya amesema kwa sasa kazi kubwa ni kwa mamlaka zinazohusika kuhakikisha kuwa wananchi wanauelewa wa kutosha kuhusu matumiza sahihi ya nafaka za viini lishe

Mradi huo wa usambazji wa teknolojia ya mahindi tayari unatekelezwa katika wilaya za Muheza ,Kilosa,Korongwe na Mikumi.

Katika hatua nyingine, serikali imezitaka Taasisi za Fedha kuacha ukiritimba wa rushwa katika utoaji wa mikopo wa wajariamali wadogo wa kati.

Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri mkuu,Uwekezaji na Uwezeshaji Dk. Mary Nagu wakati wa kongamano la wajasiliamali na Taasisi za Fedha ili kujadili mchango wa upatikanaji huduma hizo katika kukuza uchumi wa nchi.

Dtk. Nagu amesema kuwa mchango wa sekta za fedha katika kukuza uchumi na kupunguza umasikini siyo wa kubeza hivyo kutaka ushiriki wa wadau wote katika uwekezaji kupitia uwezeshaji unaofanywa na serikali pamoja na taasisi na sekta binafsi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava