Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makamu wa Rais ashangaa wanaohoji ulinzi wa Rais

Jumamosi , 13th Apr , 2019

Makamu wa Rais, mama Samia Suluhu Hassan amewashangaa wale wanaohoji juu ya usalama wa Rais badala ya kuhoji maendeleo yanayoonekana.

Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan

Ameyasema hayo katika ufunguzi wa mji wa kiserikali katika eneo la Mtumba, nje kidogo ya  Jijini Dodoma pamoja na ofisi za Rais.

Mama Samia amesema, "asubuhi ya leo nilikuwa nasikiliza uchambuzi wa magazeti, kuna mtu anahoji ulinzi wa Rais. Nikasema anahoji ulinzi wa Rais anataka kufanyaje, lakini kabla ya kuhoji ulinzi wa Rais tulidhani atahoji maendeleo yanayoendelea".

"Hii inaonesha kwamba jamaa zetu hawa, kwa vitendo na mambo unayoyaonesha yanawafanya wengine kufilisika, kufilisika kwa mawazo na kufilisika na nini wazungumze katika nchi yetu na ndiyo maana sasa wanelekea kuhoji vitu visivyohitaji kuhojiwa", ameongeza mama Samia.

Tukio hilo la uzinduzi wa mji wa serikali jijini Dodoma limefanywa na Rais John Magufuli, ikiwa ni kuashiria kuwa sasa ni rasmi azma ya serikali kuhamia Makao Makuu Dodoma imekamilika.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava