Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makonda aaga rasmi, adai mwendo ameumaliza

Jumatatu , 3rd Aug , 2020

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, leo amekabidhi rasmi ofisi kwa Mkuu wa Mkoa huo wa sasa Aboubakar Kunenge, na kusema kuwa yeye hashangazwi na maneno ya watu yanayoendelea kumuandama kwa kuamini kwamba wanaofanya mazuri siku zote ndiyo husakamwa na maneno ya watu.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Agosti 3, 2020, wakati akikabidhi ofisi hiyo na kuongeza kuwa watu wasihangaike juu ya kujua yeye ataishi wapi, bali waumie siku wakisikia amemuacha Yesu.

"Mwendo nimeumaliza, imani na kiapo changu cha utumishi nimekikamilisha kikamilifu, sasa wana Dar es Salaam mniruhusu nikapumzike kwa amani katika utumishi wangu kwa kumlea mke wangu kipenzi Maria na mtoto wangu Keagan", amesema Makonda.

Aidha Makonda ameongeza kuwa, "Ningekuwa ni Jeshini ninazo medali za kivita ni Askari mmoja aliyepo back bencher mwenye uwezo mkubwa wa kupigana vita yoyote, Mkuu wa Mkoa na Mambosasa mkihitaji uzoefu wangu ktk mapambano ya kumlinda Rais Magufuli hata kama ni saa 9 usiku nitanyanyuka".

 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA