Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makonda aja na Kampeni nyingine tena

Jumatano , 9th Oct , 2019

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda, amezindua mfumo wa kuwawezesha wananchi wa mkoa huo, kuwasilisha kero na changamoto walizonazo kwa kutumia simu ya mkononi na ujumbe wao kuwafikia watendaji kwa haraka.

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam

Mfumo huo ameuzindua leo Oktoba 9, 2019, wenye mlengo wa kuwabaini watendaji wasiotekeleza majukumu yao, mfumo ambao unauwezo wa kutoa majibu ndani ya muda mfupi, jambo litakalosaidia kuokoa muda na gharama.

''Nimeamua kuanzisha mfumo huu, baada ya kubaini kuwa wananchi wengi wamekuwa wakifika kwenye ofisi za umma na kupewa majibu ya njoo kesho, pasipokujua kuwa wamepoteza muda na nauli zao kufuata huduma'' amesema Makonda.

Aidha Makonda amewahimiza wananchi, kutumia mfumo huo kueleza kero zote zinazowakabili, ikiwemo Afya, Barabara, Elimu, Maji, Umeme pamoja na miradi inayokwama na kutoa taarifa pindi wanapobaini uhalifu kwenye mtaa.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine