Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makonda atangaza upimaji wa tezi dume

Jumatano , 13th Mar , 2019

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amesema anataka mpaka kufikia Uchaguzi Mkuu 2019/2020 wakazi wa Jiji la Dar es salaam wakiwa wanashiriki zoezi hilo la kuchagua viongozi wakiwa hawana ugonjwa wa tezi dume.

Mkuu wa Mkoa Dar es salaam Paul Makonda

Paul Makonda ametoa kauli hiyo jijini Dar es salaam ambapo amesema nia yake kama Mkuu wa Mkoa ni kuhakikisha wananchi wa Mkoa wake wakiwemo wanaume na wanawake wanapima ugonjwa tezi dume.

Makonda amesema, "nadhani mwaka huu ndiyo sahihi wa kuendesha zoezi la upimaji wa tezi dume, nataka wanaume na wanawake wote tunaenda uchaguzi wa 2019, 2020 hakuna tezi dume."

"Kama wewe ni mwananchi wa Dar es salaam na unaelekea Dodoma tutakufuata huko hatutaki uende mkoa mwingine ukiwa unaumwa, niwaombe wananchi wa Dar es salaam wajitokeze kupima na usipokuja tutakufuata nyumbani kwa sababu ni jukumu letu kukulinda", ameongeza Makonda.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava