Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makonda azindua mfumo wa kidigitali

Jumatano , 15th Jan , 2020

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amezindua mfumo wa ufuatiliaji wa ujenzi wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa ndani ya Mkoa huo, utakaorahisisha uratibu na usimamizi wa miradi mbalimbali.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Mfumo huo ameuzindua leo Januari 15, 2020, na kwamba utawawezesha viongozi pamoja na wasimamizi katika ngazi zote, kupata taarifa za maendeleo kidigitali kwani mfumo huo utakuwa ukikusanya na kuchakata taarifa zote na kuachana na mfumo wa awali.

"Taarifa za miradi ya maendeleo na ile ya kimkakati zimekuwa zikiwasilishwa mkoani kwa njia ya kawaida na wakati mwingine haziwasilishwi kwa wakati pale zinapohitajika, wakati mwingine zinakuwa hazina uhalisia, hivyo mfumo huu utaleta taarifa kamilifu za miradi kwenye viganja vya wasimamizi" amesema Makonda.

Aidha Makonda amesema kuwa kwa mwaka 2020, jumla ya miradi mipya  57 itatekelezwa ndani ya Mkoa huo.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava