Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makonda ataka Mbowe ahame Ufipa, ampa ofisi ya CCM

Alhamisi , 19th Dec , 2019

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amesema kuwa mara baada ya kukamilisha ujenzi wa Ofisi ya ghorofa moja ya Chama cha Mapinduzi kinondoni, angependa kumpunguzia gharama za kupanga, Mwenyekiti wa Taifa CHADEMA, Freeman Mbowe na kumhamishia kwenye Ofisi ndogo za CCM wilayani humo.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Makonda ameyabainisha hayo leo Disemba 19, 2019, wakati akiweka jiwe la Msingi la ujenzi wa Jengo la ghorofa moja la Ofisi za Makao Makuu ya Chama cha Mapinduzi, Wilaya ya Kinondoni, jengo ambalo linatarajiwa kugharimu kiasi cha Shilingi bilioni 2.

"Badala ya Kaka yangu Mbowe kuendelea kulipa kodi pale Ufipa, basi tumpe hili Jengo dogo ambalo wewe Mwenyekiti wa CCM Kinondoni utaondoka, amekuwepo miaka 15 na bado ni mpangaji na jana wamemchagua tena ataendelea kuwa mpangaji, muachie akae hapa na Wajumbe wake wa Kamati Kuu, wakati anajipanga kwa sababu bado anaendelea kulipa gharama kwenye Ukumbi, badala ya kuwa na jengo lake" amesema Makonda.

Makonda amesema kuwa ujenzi wa ofisi hiyo ni mkakati wake wa kujenga ofisi nyingine kama hizo, kwenye Wilaya zote tano za Mkoa huo kwa lengo la kuhakikisha viongozi wa chama wanafanya kazi katika mazingira bora.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava