Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mama afukuzwa nyumbani baada ya kupata mpenzi

Jumatatu , 15th Aug , 2022

Mwanamke aitwaye Faustina Kimamba, mkazi wa Kijiji Cha Mapili wilayani Mlele mkoani Katavi ambaye ni mjane amefukuzwa na watoto wake kwenye nyumba na mashamba waliyotafuta na mumewe aliyefariki 2010, baada ya kuanzisha mahusiano na mtu mwingine.

Faustina Kimamba, Mama aliyefukuzwa na watoto wake

Akisimulia kisa kizima cha tukio hilo, mjane huyo amesema alishawishika kuingia kweye mahusiano kutokana na hali ya kiuchumi, watoto wadogo na mwanume huyo alikuwa akimsadia huduma mbalimbali.

Bi Faustina amesema mtoto wake wa pili kumzaa ndiye aliyemfukuza huku akimtupia maneno makali kwa kumuita Malaya.

Mjane huyo ameelezea vitisho na maonyo makali aliyoyapata toka kwa ndugu wa mme yaliyompelekea kupata hofu na kuacha kufuatilia mali hizo huku akiishia kuendelea kutaabika kimaisha.

Baada ya EATV kukinasa kisa hicho, ilimtafta Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya hiyo na kumuelezea kisa kizima bila kupepesa macho ambapo amekea vitendo hivyo na kumtaka mhanga kufika ofisini kwake mara moja ili apewe msaada wa kisheria.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava