Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mama amchoma mkono mwanae akimtuhumu kuiba dagaa

Alhamisi , 6th Oct , 2022

Jeshi la Polisi mkoani Mtwara linamshikilia Somoe Mohamed mwenye umri wa miaka 34,   mkazi wa kata ya  Dihimba, halmashauri ya wilaya ya Mtwara, kwa tuhuma za kumchoma  moto mwanae  mwenye umri wa miaka mitano kwa kosa la kuiba dagaa

Akizungumza na waandishi wa habari kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Humo, Nicodemus Katembo amesema Tukio hilo lilitokea tarehe 30/09/2022 majira ya saa 16:00 katika kijiji cha Namanjele ambapo Mtuhumiwa alitenda kosa hilo kwa kuweka nyasi kavu katikati ya viganja vya mikono ya Mtoto huyo kisha akamfunga kamba mikononi na kuwasha moto kwa kutumia kiberiti

Inaelezwa kuwa Mtoto huyo alifanyiwa ukatili huo baada ya kutuhumiwa kuiba dagaa na kwa sasa yupo chini ya uangalizi wa Afisa Ustawi wa Jamii wa Mtwara Vijijini na anaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Ligula

Aidha katika tukio la pili kaimu kamanda Nicodemus Katembo amesema Jeshi hilo linamshikilia Thomas simba mkazi wa Milyembe kata ya Moma kwa tuhuma za kumlawiti  mtoto wa miaka miwili

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji