Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mama Wema aingilia mahusiano ya mwanae, aweka nia

Jumatano , 3rd Apr , 2019

Mama Mzazi wa Muigizaji Wema Sepetu, amesema akiwa kama mzazi wa muigizaji huyo, amechoka na vitendo vya muigizaji Diana Kimary kwa kuwa anamrudisha nyuma mtoto wake kiasi cha kushindwa kufanya maendeleo.

Wema Sepetu akiwa na Diana Kimary

Kupitia sauti zainazotembea mitandaoni zikidaiwa ni za mama yake Wema, mzazi huyo amesema kwamba uchungu wa Wema anaufahamu yeye na ndiyo maana hataki kumuona mwanaye akiwa pamoja na Diana.

Amesema kwamba wakati wa matatizo ya Wema yeye ndiye huwa anateseka peke yake wakati hao kina Diana wakiwa mbali huku akisisitiza hakuna la maana wanalofanya wala kumshauri Wema jambo la maana.

Mama wema amesema atakula sahani moja na Diana kuhakikisha anamtenganisha na Wema kwani anaamini nazi haiwezi kushindana na jiwe.

"Huyo Diana nimeshampiga nitaendelea kumpiga mpaka nihakikishe namvunja mguu", imesema sauti hiyo inayodaiwa kuwa ni ya mama Wema.

Pamoja na hayo mama wa muigizaji huyo amewataka mashabiki na watu wa karibu wa Wema wamuambie ukweli kuhusu matendo anayoyafanya hata kama atawachukia.

HABARI ZAIDI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi

Wasimamizi wa uchaguzi waongezwe posho - Katambi