Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mambosasa awaonya walinda kura

Ijumaa , 14th Sep , 2018

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya  Dar es salaam, Lazaro Mambosasa, amevitahadharisha vikundi vya vijana ambavyo vinatumika kisiasa kutaka kuvunja amani kwenye uchaguzi mdogo wa Ubunge katika jimbo la Ukonga kwa kisingizio cha kulinda kura.

Kamanda Lazaro Mambosasa

Akiongea leo kwenye mkutano na wanahabari, Mambosasa amesema, jeshi lake limejipanga vyema kuhakikisha uchaguzi huo unaanza na kumalizika salama huku mshindi akitarajiwa kupatikana kwa ushindi wa kura na si vinginevyo.

''Kuna vitendo vimekuwa vikijitokeza kwenye chaguzi, ambapo vikundi vya vijana vinajiita walinda kura, kitu ambacho ni kinyume na sheria hivyo watakaofanya hivyo kwenye uchaguzi wa Ukonga wataishia kwenye mikono ya dola'', amesema.

Mambosasa amesema watahakikisha usalama wa zoezi zima kuanzia kusambazwa kwa vifaa vya kupigia kura katika vituo vyote hadi kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi huo unaofanyika Jumapili Septemba 16, 2018.

Katika uchaguzi huo wagombea wa vyama vya CHADEMA na CCM, wanachuana vikali ambapo CCM inawakilishwa na Mwita Waitara huku CHADEMA wakiwakilishwa na Asia Msangi.

Mbali na hilo Mambosasa ameibanisha jeshi hilo limefanikiwa kukamata watuhumiwa 8 akiwemo mwanamke mmoja, wanaodaiwa kuendesha vitendo vya uporaji wa Bajaj katika eneo la Mvuti Gongo la mboto jijini Dar es salaam.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava