Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maneno machafu yapigwa marufuku, mwezi wa mfungo

Ijumaa , 22nd Mar , 2024

Sheikh Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Sheikh Husein Maneno Simo ametoa wito kwa Waislam wote nchini kuendelea kulinda amani iliyopo na kuwa wazalendo.

Sheikh Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Sheikh Husein Maneno Simo

Sheikh Huseni ameyasema hayo leo, katika Msikiti wa Azhar uliyopo Kata ya Kivinje Wilaya ya Kilwa Mkoani Lindi ambapo amewataka Waislamu wote kujivunia amani iliyopo nchini na  kuwataka watende matendo mema ambayo yanamfurahisha Mwenyezi Mungu.

“Katika Mwezi wa Ramadhani Waislam wote wanatakiwa kutosema maneno machafu, kutokufanya matendo maovu ambayo  yanahatarisha amani ya nchi na matendo mengine ambayo uislamu haukubaliani nayo ’’alisema Sheikh Huseini. 

Alisisitiza kuwa uislamu ni dini ambayo kwa sehemu kubwa inahimiza amani kama ilivyo jina lake al islam lenye maana ya  amani.

“Hivyo sisi kama Watanzania kama wanakilwa na kama waislamu ni wajibu wetu kuhakikisha kwamba amani ya Tanzania inakuwa kipaumbele na amani ya Kilwa inakuwa kipaumbele’’ alieleza Sheikh Huseini.

Pamoja na hayo, ameongeza Serikali hivi saaa inatengeneza miundombinu kwaajili ya kuwasaidia wananchi lakini  uharibifu unafanywa na mingoni mwetu hivyo ni wajibu wa kila muislamu kutumia mwezi wa ramadhani kutenda matendo mema na kuwa mzalendo wa taifa hili. 
 

HABARI ZAIDI

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi