Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mapango ya Fisi yakutwa na nyama, mafiga na vyungu

Ijumaa , 27th Mei , 2022

Mkuu wa wilaya ya Bariadi Lupakisyo Andrea, amesema kwamba katika oparesheni ya kuwaangamiza Fisi wilayani humo, wengine wamekuwa wakiwakuta na shanga, huku mapango wanayokaa Fisi hao wakikuta kuna mafiga, vyungu na nyama ambazo zimemalizika kuliwa.

Fisi

Hayo ameyabainisha mbele ya Kaimu Kamishna wa Uhifadhi wa Idara ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), Mabula Misungwi Nyanda, aliyefika mkoani Simiyu kwa ziara ya kikazi, ambapo amepata wasaa wa kutembelea familia na kuwafariji watoto walioshambuliwa na kuumizwa na fisi hivi karibuni.

"Kwahiyo ni kweli wana shanga (Fisi), ukiingia mule ndani kwenya mapango yao utakuta mawe, chungu na nyama ambazo zimetoka kuliwa wakati huo, Mkuu tutaomba utuvumilie, tutajitahidi sana kufuata utaratibu lakini kama wana madhara kwa ulivyojionea, hawa tutaomba tuwaue, tukiweka mtego wa Mbuzi hawali, wanataka mtego wa mtoto ndiyo amle," amesema DC Andrea

Aidha akizungumzia kitendo cha Fisi hao kufika katika kituo cha polisi DC Andrea amesema, "Na kitu ambacho labda kiliwaudhi tuliua Fisi wa mwisho alikuwa na watoto, yaani Fisi anakwenda kituo cha polisi anajua kuna silaha hawa ndio wanatulinda, walipowaona Polisi na silaha zao wao wakaondoka,".

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu