Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mapya yaibuka Mbowe kupokonywa ofisi na DC Sabaya

Ijumaa , 18th Jan , 2019

Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Hai linaloongozwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, Bi Irene Lema amekanusha taarifa ya kupokonywa ofisi ya Mbunge wa Jimbo hilo kama ilivyotangazwa na Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya hivi karibuni.

Mbunge wa Jimbo la Hai Freeman Mbowe

Kwa mujibu wa Katibu huyo Freeman wa Mbowe, hawajawahi kutumia ofisi yeyote iliyopo ndani ya Halmashauri ya Hai kutokana na Freeman Mbowe kuwa na wageni wengi huku chumba cha halmashuri kikishindwa kuhudumia idadi ya wageni wengi aliyokuwa nao.

Irene Lema amesema, "Mbunge hana ofisi ndani ya Halmashauri ya Hai, na aliamua kuweka nje ya halmashauri kwa sababu ilikuwa ni ndogo sana na akaamua kuweka nje ili kuwapokea wageni wengi wanatokea ndani na nje ya jimbo, hatujawahi kuitumia ofisi ambayo Mkuu wa Wilaya amesema amempokonya Mbunge."

"Ofisi yetu iko wazi muda wote na ninavyokwambia muda huu nimetoka kukutana na watu watatu ambao wanashida na Mbunge, kwa hiyo ofisi yetu tunashirikiana vizuri sana na wafanyakazi wote wa halmashauri ya Hai akiwemo Mkurugenzi tena bila kujali vyama vyao", ameongeza Irene Lema.

Mapema wiki iliyopita hii, Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya alitangaza kumpokonya Freeman Mbowe ofisi yake, akidai kuwa kiongozi huyo hajaonekana katika ofisi yake kwa muda mrefu.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto