Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Marekani wanatupongeza, hatuombi'' - Kabudi

Jumapili , 6th Oct , 2019

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba Kabudi, amesema kuwa mataifa makubwa Duniani ikiwemo Marekani, wamekuwa wakiipongeza nchi ya Tanzania kwa kuweza kujisimamia yenyewe kiuchumi, ikiwemo katika ununuaji wa ndege zake.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba Kabudi

Waziri Kabudi ameyabainisha hayo leo Oktoba 6, 2019, wakati wa ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, mkoani Rukwa na kwamba utendaji wake wa kazi umewarahisishia wao katika kuifanyakazi ya Diplomasia katika mataifa mbalimbali Duniani.

''Mh Rais nimetoka Marekani, moja ya mambo ambayo sitaki kuyasema ni nani aliniambia,alisema tunawashukuru watanzania kwa kununua ndege zetu tena bila mikopo, imetupa heshima hatuendi kuomba, hatuendi kukopa tunanunua Cash, huko nje hatutetereki, hatuendi kama wanyonge,tunaenda kwa nguvu kwa sababu ya mambo yaliyofanyika na nchi hii'', amesema Profesa Kabudi.

Aidha Profesa Kabudi ameongeza kuwa licha ya kuwepo kwa watu wanaoenda katika mataifa mbalimba kwa nia ya kuichafua nchi, lakini yeye kama mwanadiplomasia amekuwa akitolea ufafanuzi na kusema kuwa Tanzania imekuwa ikiongoza kwa haki katika mambo mbalimbali.

''Kwasababu watu Mh Rais huko Duniani, wamekosa ya kusema ndio maana, wanakwenda katika mambo yasiyokuwa ya msingi na hata wale wapotoshaji wa ukweli wa nchi hii, huko nje tumekuwa tukienda kufafanua ukweli na tunapata nguvu hiyo kwa sababu ya nguvu kubwa uliyoifanya'' amesema Profesa Kabudi.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu