Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Marufuku kumtenga mgonjwa wa Ukoma' - Waziri Ummy

Jumamosi , 25th Jan , 2020

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na watoto Ummy Mwalimu, amekemea watu wanaowatenga watu wenye ugonjwa wa Ukoma, kwakudhani kwamba wanaweza kuwaaambukiza kwa kusogeleana kitendo ambacho si kweli kwa mujibu wa wataalamu wa afya.

Waziri Afya Ummy Malimu akiwa na DC wa Dodoma Mjini Patrobasi Katambia lkatika Kijiji cha Msamalia ambacho wanaishu watu wenye Ukoma

Ameyasena hayo leo mkoani Dodoma katika Kijiji cha Msamalia ambapo ipo kambi ya wagonjwa wa Ukoma na kusema asilimia 50 ya wagonjwa wa ukoma hupatwa na ugonjwa wa Sonona kutokana na kunyanyapaliwa na jamii.

Kwa upande wake Bibi Beatrice ambaye anaishi kwenye kambi hiyo ya waathirika wa ugonjwa wa Ukoma ameishukuru Serikali kwakuwakumbuka kwa kuwapelekea vyakula.

Kesho ni siku ya Ukoma duniani na kauli mbiu inasema kuwa 'Tuthamini haki utu wa waathirika wa Ukoma, kwa kutokomeza ubaguzi unyanyapaa na chuki'

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava