Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Masau Bwire ang'aka Ihefu 'timu mbovu' zaidi VPL

Jumatatu , 14th Sep , 2020

Msemaji wa wababe wa Mlandizi Pwani Ruvu Shooting Masau Bwire ameelezea kusikitishwa kwake na timu yake kufungwa na timu aliyoiita kuwa ni mbovu.

Msemaji wa wababe wa Mlandizi Pwani Ruvu Shooting Masau Bwire

Masau ametoa kauli hiyo hii leo alipozungumza na mwandishi wetu kwa njia ya simu akiwa njiani kurejea kutoka jijini Mbeya ambapo siku ya jana majira ya Saa 8:00 Mchana Ihefu FC waliwakaribisha Ruvu shooting katika muendelezo wa Ligi Kuu Tanzania VPL na wenyeji kujihakikishia ushindi mapema dakika ya 7 ya mchezo kupitia Enock Jiah

"Mechi ilikuwa ya kawaida na timu tuliyocheza nayo ilikuwa na kiwango chake kilikuwa cha chini sana mpaka kiasi cha kusema kwamba miongoni mwa timu mbovu msimu huu ni pamoja na Ihefu lakini ajabu, shangaa tukapoteza mchezo. Lakini tukaamini kwamba kwenye soka hayo huwa yanatokea usipotarajia unaweza kupata au kupoteza'', amesema.

Aidha, kuhusu uwanja waliochezea Masau amesema kuwa uwanja ulikuwa wakawaida na wao kama wazoefu wa Ligi Kuu hawawezi kushangazwa na hali hiyo uwanja na kusifu kuwa upo kwenye viwango vya kuchezewa Ligi Kuu.

Kwa upande mwingine lawama zake akazielekezea kwa waamuzi wa mchezo huo kuwa kulikuwa na changamoto hivyo kuwataka waamuzi wasiwe tofauti na matakwa ya sheria hali inayoweza kupelekea kupata washindi wasiostahiki.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu