Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Masauni atoa tamko vurugu zinazoendelea Zanzibar

Jumapili , 18th Oct , 2020

Naibu Waziri wa Mambo ya  Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, ametoa onyo kwa watu wenye nia ovu ya kuvuruga mwenendo wa uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28,mwaka huu.

Naibu Waziri wa Mambo ya  Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni.

Naibu waziri Masauni amezungumza hayo  hii leo baada ya kuwatembelea majeruhi  saba waliopo katika hospitali ya Micheweni, waliojeruhiwa baada ya kuzuka kwa vurugu katika eneo la Kwale, Wilaya ya Micheweni, Pemba, zilizohusishwa na itikadi za kisiasa ambapo amekemea vikali matukio hayo.

''Niwasihi sana wananchi kuepuka kuchochewa kuvunja sheria za nchi kuelekea katika uchaguzi mkuu sababu serikali imejipanga vizuri kuhakikisha kwamba atakayekiuka sheria za nchi basi sheria itafuata mkondo wake''amesema Masauni

Kwa upande wa Kamishna Mkuu wa Jeshi la  Polisi Zanzibar, CP Mohammed Haji Hassan, amesema jeshi la polisi linaendelea na uchunguzi  ambapo watu 58 wanashikiliwa kutokana na tukio hilo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava