Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mashimo aleta utata kifo cha Kibonde, RC aingilia

Jumatatu , 11th Mar , 2019

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amemshauri, Mchungaji wa Daudi Mashimo, kuwapatia unabii familia ya aliyekuwa Mtangazaji wa kipindi cha Jahazi, Ephraim Kibonde na siyo kutangaza habari zake kwa vyombo vya habari.

RC Paul Makonda

Makonda ametoa ushauri huo kwa Mch. Mashimo baada ya kusambaa kwa video zikimuonyesha akidai kwamba aliyekuwa mtangazaji wa Jahazi Kibonde hajafariki na kwamba huenda familia yake imezika gogo au mgomba.

Katika mahuburi hayo ya Mch. Mashimo amesema kwamba Kibonde hajafariki kama ambavyo inaaminika, na kwamba hajafariki kwa  mpango wa Mungu na yeye alipata maono hayo kabla ya kifo kutokea, "niiona na nikatangaza haya ni maono yangu ya kweli".

Makonda amesema kwamba hajawahi kuona kwenye biblia kwamba Manabii wa zamani walikwenda kwenye vyombo vya habari na badala yake walikwenda kwa wahusika.

"Ndugu yangu igependeza sana unabii huu ukawapatia wanafamilia na wala siyo kukimbilia kwa waandishi wa habari. Najaribu kupitia maandiko hapa bado sijaona Nabii alieenda kwa wanahabari badala ya kwenda kwa wahusika inawezekana labda Biblia yangu ni ya zamani", ameongeza Makonda.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava