Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mashinji aelezea Maalim Seif kutojiunga CHADEMA

Jumanne , 19th Mar , 2019

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt Vincent Mashinji amezngumzia sababu za Maalim Seif Sharif Hamad kutojiunga chama hicho, licha ya wao kuwa wa kwanza kuongea naye.

Dkt Vincent Mashinji ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na www.eatv.tv iliyotaka kufahamu kuhusiana na tukio la Maalim Seif kujiunga na ACT - Wazalendo muda mfupi baada ya Mahakama kumtangaza Prof. Ibrahim Lipumba kuwa mshindi wa kesi ya uhalali wa uenyekiti wake ndani ya chama hicho.

"Mimi nadhani kueleza kilichotokea mpaka hakujiunga kwetu na akaenda ACT - Wazalendo yeye mwenyewe ndiyo anaweza kulieleza lakini ninachoweza kusema, Katiba inatungwa na chama wala sio Katibu kama alisoma katiba mbalimbali akaona ya kwetu haimvutii basi hivyo ndiyo tulivyo." amesema Maalim.

Wakati akitangaza uamuzi wa kujiunga na ACT - Wazalendo Maalim Seif amesema alizungumza na vyama karibua 10 vya upinzani lakini akagundua masharti ya ACT - Wazalendo ndiyo yaliyokuwa ya unafuu zaidi.

Mara baada ya Maalim Seif kutangaza kujiunga na ACT - Wazalendo Katibu Mkuu huyo wa CHADEMA alimpongeza kwa uamuzi wake huo na kusema ni faida kubwa sana kwao.

Mapema jana Machi 18, 2019, Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam ilitangaza kutambua uhalali wa mwenyekiti wa chama hicho anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa Profesa Ibrahim Lipumba.

Kufuatia maamuzi hayo ya Mahakama, majira ya saa nane mchana Machi 18, 2019, Maalim Seif alitangaza uamuzi wa kuhamia Chama cha ACT- Wazalendo kwa kile alichokidai amesoma katiba za vyama vingine na kubaini masharti ya chama hicho ni nafuu zaidi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava