Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maswali matano magumu anayojiuliza Rais Magufuli

Jumamosi , 5th Oct , 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amesema kuna maswali huwa anajiuliza, lakini majibu yake yanampa nguvu ya kuendelea kuwatumikia Watanzania.

Rais Magufuli

Rais Magufuli ameyasema hayo jana Oktoba 4, 2019, wakati akiwahutubia wananchi wa mkoa wa Songwe, kwenye mkutano wa hadhara katika ziara yake mkoani humo , ambapo alisema kila akifikiria kuondoka kuna maswali mengi anajiuliza na anapata jibu la kuendelea.

''Kuna muda ukikaa unajiuliza mateso waliyokuwa wanapata watu unaona ilikuwa lazima tu nifanye kazi, nikitazama leo nikiiacha nchi, Ndege zitanunuliwa? SGR itajengwa? Vituo vya afya vitajengwa? Stiegler's Gorge itajengwa? Je miradi yote itatekelezwa?, hapo ndipo ninajisikia lazima niendelee'', amesema.

Aidha Rais Maguguli amewaomba watanzania kuendelea kumuombea yeye pamoja na Mawaziri, kwani wanafanyakazi kwa mateso makubwa sana.

''Katika kipindi ambacho Mawaziri hawakufaidika ni wakati wangu, hata anapolala hajui kama kesho ataamka akiwa waziri', ameeleza.

Zaidi tazama Video hapa chini.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto