Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maswali matano magumu anayojiuliza Rais Magufuli

Jumamosi , 5th Oct , 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amesema kuna maswali huwa anajiuliza, lakini majibu yake yanampa nguvu ya kuendelea kuwatumikia Watanzania.

Rais Magufuli

Rais Magufuli ameyasema hayo jana Oktoba 4, 2019, wakati akiwahutubia wananchi wa mkoa wa Songwe, kwenye mkutano wa hadhara katika ziara yake mkoani humo , ambapo alisema kila akifikiria kuondoka kuna maswali mengi anajiuliza na anapata jibu la kuendelea.

''Kuna muda ukikaa unajiuliza mateso waliyokuwa wanapata watu unaona ilikuwa lazima tu nifanye kazi, nikitazama leo nikiiacha nchi, Ndege zitanunuliwa? SGR itajengwa? Vituo vya afya vitajengwa? Stiegler's Gorge itajengwa? Je miradi yote itatekelezwa?, hapo ndipo ninajisikia lazima niendelee'', amesema.

Aidha Rais Maguguli amewaomba watanzania kuendelea kumuombea yeye pamoja na Mawaziri, kwani wanafanyakazi kwa mateso makubwa sana.

''Katika kipindi ambacho Mawaziri hawakufaidika ni wakati wangu, hata anapolala hajui kama kesho ataamka akiwa waziri', ameeleza.

Zaidi tazama Video hapa chini.
 

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu