Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Matokeo mabaya yanasababishwa na walimu

Ijumaa , 8th Jul , 2016

Walimu wa shule za msingi zilizopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Tabora, wametakiwa kuwa wabunifu katika ufundishaji ili kuziwezesha shule zao kuwa na maendeleo ya kielimu.

Aliekua Mkurugenzi wa Manispaa hiyo ambae sasa anahamia Jiji la Dar es Salaam, Sipora Liana.

Aliekua Mkurugenzi wa Manispaa hiyo ambaye sasa anahamia Jiji la Dar es Salaam, Sipora Liana, amesema matokeo mabaya ya wanafunzi wanaomaliza elimu ya msingi wilayani humo yanatokana na walimu kutotekeleza wajibu wao ipasavyo.

Akizungumza na walimu wa Masomo ya Hisabati, Kingereza na Kiswahili wa Halmashauri hiyo waliopatiwa mafunzo ya kujengewa uwezo, Bi. Liana amesema ili kupata matokeo mazuri lazima walimu wabadilike kifikra na kuacha kufanya kazi kwa mazoea.

Kwa upande wake Afisa Elimu Mkoa wa Tabora Emanuel Malima, yanalenga kutoa elimu bora kwa wanafunzi ikiwa ni pamoja na kukabiliana na changamoto ya elimu ya mkoa huo.

Nae Meneja wa Mamlaka ya Elimu nchini TEA, Musa Nzenga, amesema lengo kuu la mpango huo ni kuobresha elimu katika ngazi ya msingi lakini pia kuboresha ufaulu katika masomo yaliyochaguliwa kufundishwa.

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu