Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Matumizi ya mamilioni ya NMB Bima Marathon

Jumamosi , 12th Sep , 2020

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa hospitali binafsi na za Serikali kujenga wodi maalumu zilizojitenga kwa ajili ya ugonjwa wa saratani ili kuweza kutoa huduma zenye uhakika katika uchunguzi na tiba zake.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa

Majaliwa ameyasema hayo wakati akihutubia katika hitimisho la mbio za NMB BIMA Marathon zilizofanyika leo Septemba 12,2020 katika eneo la Mlimani city Jijini Dar es Salaam ambazo zinalengo la kusaidia watoto wenye saratani katika hospitali ya Taifa Muhimbili na kuwataka wadau kushirikiana na serikali ili kuboresha huduma za afya.

‘’Nitoe wito kwa hospitali zote za serikali na binafsi kujenga wodi maalumu kwenye maeneo yao zilizojitenga ili kuweza kutoa huduma hii kwa uhakika kuanzia uchunguzi hadi tiba yake’’, amesema Majaliwa.

‘’Milioni 100 zimekusanywa zitakazoweza kusaidia watoto wenye saratani waliopo hospitali ya Muhimbili, niwapongeze wote mlioshiriki katika mbio hizi, naelewa bado kuna makundi ambayo yanahitaji misaada yetu’’, ameongeza.

Aidha Majaliwa amewapongeza wote walioshiriki katika mbio hizo za hisani na kuwataka kutoishia hapo kwani kuna kundi kubwa ambalo bado linahitaji msaada.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava