Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mawaziri CUF(SUK), Zanzibar waachia ngazi

Jumatatu , 9th Nov , 2015

Kufuatia kufutwa kwa Uchaguzi Mkuu Zanzibar, mawaziri saba pamoja na manaibu wao wanaounda Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) kutoka chama cha Wananchi(CUF), wamejiuzulu kutokana na kile walichodai kuwa ni kuheshimu Katiba.

Aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo Zanzibar Mh. Said Ally Mbarouk.

Hayo yamezungumzwa na aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo Mh. Said Ally Mbarouk na kuongeza kuwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa visiwani humo haina uhalali wa kikatiba kuendelea kuwepo kwani ilishamaliza muda wake.

Mh. Mbarouk amesema hawakubaliani na uamuzi was Dkt. Shein kuendelea kusalia madarakani na serikali yake yote wakiwemo wao na ndio maana wameamua kujiondoa lengo likiwa ni kuilinda Katiba ya Zanzibar.

Katika hatua nyingine baraza kuu la uongozi la chama hicho limetoa maazimio saba likiwemo kuitaka ZEC itengue uamuzi wa Jecha na kurudi kazini kukamilisha kazi ya kuhakiki matokeo ya uchaguzi wa majimbo 23 yaliyobaki.

Aidha baraza hilo limesema baada ya ZEC kutangaza mshindi wa uchaguzi wa urais wa Zanzibar Maalim Seif akutane na vingozi wa CUF na CCM waliopata wawakilishi kujadili uundwaji mpya wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine