Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbatia kuondolewa kwenye orodha ya Viongozi NCCR

Alhamisi , 26th Mei , 2022

Msajili Msaidizi wa vyama vya siasa Tanzania Sisty Nyahoza amesema kuwa baada ya kumuandikia barua James Mbatia na kumjulisha kusimamishwa kuwa Mwenyekiti wa Chama hicho hatua inayofuata sasa ni kuondoa jina lake kama moja ya viongozi wa Chama

Kiongozi huyo amesema nafasi yake itakaimisha kwa Makamu Mwenyekiti Zanzibar .

Nyahoza akizungumza na earadio amesisitiza kuwa utaratibu wa kumuondoa kiongozi huyo ulifuata taratibu zote na uamuzi ulikuwa halali

"Sisi baada ya kuwaandikia barua NCCR - Mageuzi kinachofuata sasa ni kusajili mabadiliko ya Uongozi, ndio Sheria inavyosema, kwahiyo sasa hivi tunaweka pembeni jina la Mbatia na nafasi yake anakaimu yule Makamu Mwenyekiti Zanzibar" 

Kuhusu tuhuma alizotoa James Mbatia jana kuwa Ofisi ya Msajili imeshiriki kufadhili mkutano uliomuondoa madarakani, kiongozi huyo amekana tuhuma hizo na kusisitiza ofisi ya msajili haihusiki na hilo 

"Sio kazi ya Ofisi ya msajili wa vyama vya siasa kugharamia mikutano ya vyama, sisi tulialikwa tu,  mbona tulialikwa vya CHADEMA hawasemi tulifadhili, NCCR - Mageuzi wana matatizo yao ndani ya chama wasituletee sisi, kama wana shida zao sisi kazi yetu ni kuangalia nani yupo kwa mujibu wa sheria" amesema Nyahoza

"Sisi tumesema ule mkutano ulikuwa sahihi na Mbatia ameondolewa kihalali, ndio jambo la msingi akae pembeni, mtu ukiona kabisa wenzako hawakutaki ndani ya Chama shida yako nini?, anaongea na vyombo vya habari badala ya kuja Ofisi ya Msajili, tunamkaribisha sana hata leo aje"

"Vyama vya siasa viheshimu Sheria na Katiba zao, vina migogoro mingi kwa sababu wanabishana sana kugombea madaraka, wanakuwa na tamaa ya mali, kama NCCR - Mageuzi walikuwa na masuala ya migogoro ya mali za chama, mambo yameanza siku nyingi na sio sisi tuliyapeleka huko ni wao wenyewe walianzana huko" 

"Sisi baada ya kuwaandikia barua NCCR - Mageuzi kinachofuata sasa ni kusajili mabadiliko ya Uongozi, ndio Sheria inavyosema, kwahiyo sasa hivi tunaweka pembeni jina la Mbatia na nafasi yake anakaimu yule Makamu Mwenyekiti Zanzibar" ameeleza Sisty Nyahoza , Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava