Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbeya: 9 wawekwa Karantini

Jumatano , 1st Apr , 2020

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amesema kuwa watu zaidi ya tisa kutoka Mataifa mbalimbali ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), wamewekwa karantini chini ya ulinzi wa Mkoa wa huo baada ya kuhofiwa kuwa na maambukizi ya Virusi vya Corona.

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila.

Taarifa hiyo imetolewa leo April 1, 2020, na Mkuu wa Mkoa huo na kusema kuwa watu hao wamewekwa karantini katika baadhi ya hoteli zilizo pembezoni mwa Mji kwa muda wa siku 14 na wanahudumiwa na wahudumu ambao wamepata mafunzo maalumu.

"Tulichokifanya katika mipaka ni kuhakikisha wale wageni wote wanaoingia, wanapimwa kwanza na kukaa karantini kwa siku 14 kwa gharama zao, mpaka sasa hatuna kesi yoyote lakini tuna watu zaidi ya tisa, ambao wametengwa kwenye karantini hizo" amesema RC Chalamila.
 

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji