Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ufafanuzi wanaohusisha mboga za majani na umaskini

Jumatatu , 30th Nov , 2020

Tatizo la uwepo wa fikra potofu kwa baadhi ya wakazi wa mkoa wa Kagera kuwa wanaokula mboga za majani ni maskini, limetajwa kuchangia uwepo wa idadi kubwa ya watoto waliodumaa.

Pichani:Mfano wa mboga za majani

Akizungumza na EATV, Afisa Lishe wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba, Desdery Karugaba amesema kuwa wanaendelea kuhamasisha wananchi wa mkoa wa Kagera kuachana na fikra hizo na badala yake kutumia mboga hizo kwa wingi hususani akina mama wajawazito.

“Mboga za majani zinahusishwa na umasikini lakini mtu anaona kuzitumia hizi mboga atakuwa ni kama mtu wa hali ya chini, sisi tunahamasisha matumizi ya hizi mboga kwa wajawazito si mboga tu anatakiwa ale mlo kamili kutoka yale makundi matano ya chakula, kila kundi lina kazi yake moja likikosekana lazima litatokea tatizo mwilini” amesema Desdery

Afisa Lishe kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Elieth Rumanyika, amesema tatizo la udumavu kwa watoto nchini linaendelea kushuka na sasa ni asilimia 31.8 huku wakizidi kuongeza nguvu katika kuhakikisha udumavu nchini kwa watoto chini ya miaka mitano unapungua na tatizo la wanawake ambao wana upungufu wa damu wanapungua.

Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na taasisi ya chakula na lishe Tanzania, mkoa wa Kagera una watoto 260,000 wenye umri wa chini ya miaka mitano waliodumaa.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava