Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbowe azungumzia CHADEMA kususia uchaguzi

Jumanne , 15th Oct , 2019

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Freeman Mbowe, amesema chama hicho kamwe hakitasusia uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuwataka Watanzania kujiandikisha kwenye daftari la mpiga kura ili waweze kushiriki uchaguzi huo.

Mbowe ametoa kauli hiyo leo Oktoba 15, 2019, wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za makao makuu ya chama hicho Jjijini Dar es salaam, ambapo amesema endapo Watanzania watasusia uchaguzi huo itakuwa ni athari kwenye maisha yao.

"Kuna watu wanasema CHADEMA na vyama vya Upinzani tususie uchaguzi na sisi tunaona sio sawa, kwa sababu wenzetu wanatamani tususie na niwaombe Watanzania wajitokeze kujiandikisha, mkisusia uchaqguzi maanake mmesusia maisha yenu". amesema Rais Magufuli

Aidha Mbowe amesema kuwa "uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa tusiuchukulie kiwepesi kwa sababu ni ikulu kwa wananchi, athari kubwa itakayotkana na huu uchaguzi, itakuwa na athari kubwa sana hapo baadaye, tutashiriki chaguzi za Serikali za Mitaa tutashinda na tutashinda sana".

Waziri wa TAMISEMI Seleman Jafo, juzi Oktoba 13, 2019, alitangaza kuongeza muda wa siku 3 kujiandikisha kwa wananchi, kwenye daftari la mpiga kura ili waweze kushiriki uchaguzi huo.

 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA