Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbunge aliyechongewa kwa JPM afunguka

Jumatatu , 22nd Apr , 2019

Mbunge wa Mtwara Vijijini, Hawa Ghasia amewataka wapiga kura wake, kutowaamini watu wanaozusha maneno kwamba ametaka kuhamishia ujenzi wa hospitali ya Wilaya Mkunwa badala ya Nanguruwe.

Rais Magufuli

Akizungumza na wananchi wa Nanguruwe, Ghasia amesema kwamba yeye mwenyewe alipata taarifa kuwa Baraza la Madiwani wamehamisha Hosptali ya wilaya Mtwara, isijengwe Nanguruwe na wameipeleka Mkunwa wakidai kuna maelekezo toka Tamisemi ingawa hawezi kuwalaumu.

"Kuna wengine wanaozusha kwamba eneo la Mkunwa ni la Hawa Ghasia, Jamani! Ghasia ana maeneo mangapi? uko mnakosikia wanasemaje kwamba mimi ndo nalazimisha wajenge Mkunwa nilipwe fidia? Msidanganyike. Niko na nyinyi kuhakikisha maagizo ya Rais Magufuli yanatekelezwa" Mbunge Ghasia

Ameongeza kwamba "Kabla ya Rais kufika hapa.Nilipata taarifa kuwa Baraza la Madiwani wamehamisha Hosptali ya wilaya Mtwara,isijengwe Nanguruwe na wameipeleka mkunwa wakidai kuna maelekezo toka Tamisemi. Nikaenda Tamisemi wakakataa. Siwalaumu Madiwani,wamedanganywa".

Pamoja na hayo, Mbunge Ghasia amesema kwamba "Tangu nimekuwa Mbunge sijawahi kuwa na mkutano mkubwa kama huu. Ndugu zangu wa Nanguruwe tukitaka tushinde hii vita mimi  na nyinyi tuwe kitu kimoja, tukianza kugombana wenyewe tutashindwa na ndo wanachotaka. Hakuna anayeweza kubadili agizo la Rais, Hospitali itajengwa hapa

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu