Anna Joram Gidarya (wa pili kutoka kushoto)
Baada ya kula kiapo, Anna Gidarya amesema kwa kazi aliyofanya Rais Magufuli hata wapinzani hawana hoja tena maana tayari hoja zote zimeshafanyiwa kazi ndio maana yeye ameamua kurudi nyumbani.
''Nilikuwa kama napoteza taswira ya kisiasa na kujikuta nakuwa sio mzalendo wa nchi yangu naahidi kusema niliyokutana nayo kipindi kizima nilichokuwa upinzani'', amesema.
Tazama Video hapo chini