Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mchungaji akutwa makaburini akitaka kumbaka mtoto

Ijumaa , 4th Dec , 2020

Jeshi la polisi mkoa wa Ruvuma linamshikilia mzee wa wa miaka 72, ambaye ni mchungaji wa kanisa la Pentecostal Gospal Mission, lililopo wilaya ya Mbinga kwa tuhuma za kumbaka mwanafunzi wa darasa la sita mwenye umri wa miaka 13.

Kushoto ni Kamanda wa Polisi mkoa wa Ruvuma Simon Marwa Maigwa, na kulia ni Mchungaji Boston Chimalilo, alipokamatwa makaburini.

Akizungumzia tukio hilo, Kamanda wa Polisi mkoa wa Ruvuma Simon Marwa Maigwa, amesema kuwa jeshi hilo linamshikilia mzee huyo aliyefahamika kwa jina la Boston Chimalilo, ambaye alikamatwa Desemba 1, 2020, maeneo ya makaburini akiwa katika harakati za kumuingilia mtoto huyo.

"Wasamaria wema waliokuwa wakipita maeneo hayo ya makaburini walimuona mchungaji huyo akiwa anamepiga magoti akimlazimisha mtoto huyo kufanya kitendo hicho na baada ya mhanga kuhojiwa alikiri kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mchungaji huyo tangu 2019", amesema Kamanda Maigwa.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava