Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mdogo wake Kigwangalla aelezea safari yake kisiasa

Jumanne , 4th Aug , 2020

Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA Jimbo la Bukene Lumola Kahumbi, aliyejitambulisha kama mdogo wake na Waziri Kigwangalla amesema, amezunguka kwa siku 11 maeneo tofauti na kukutana na wananchi kwa ajili ya kuwahoji, ambapo wengi walitamani chama hicho kimteue Tundu Lissu kugombea Urais.

Kushoto ni Lumola Kahumbi na kulia ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Hamis Kigwangalla.

Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital, ambapo Lumola amesema kuwa wananchi wengi hawawatambui wagombea wengine zaidi ya Lissu, kwa kuwa wanamuona ndiye anaendana kisiasa na mgombea wa nafasi ya Urais kupitia CCM Dkt Magufuli.

"Mimi ni mdogo wake Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt Kigwangalla, nilianza safari ya kuzunguka maeneo tofauti na nimefikia watu 1500, lengo lilikuwa ni kuwauliza wanachi wangetamani CHADEMA katika nafasi ya Urais wamsimamishe nani, ambapo kwa maoni yao walitamani awe Tundu Lissu, nguvu ya upinzani inahitajika sana katika kuyapata mageuzi katika nchi na  wananchi wengi hawawajui wagombea wengine zaidi ya Lissu na wanaona ndiye mtu pekee anayeweza kuendana na siasa za mgombea wa CCM", amesema Lumola.

Tazama video hapa chini
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu