Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Meneja maji wilayani Hai kukamatwa kwa ubadhirifu

Jumatano , 16th Dec , 2015

Halmshauri ya wilaya ya Hai imeamuru kukamatwa kwa meneja wa mamlaka ya maji ya wa wilaya hiyo Rojas Marando pamoja na mhasibu wa mamlaka hiyo Devotha Mwambuli kwa tuhuma za kufanya ubadhirifu wa shilingi milioni 98 kwa ajili ya mita za maji.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo Bw, Said Mderu

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo Bw, Said Mderu amesema hatua hiyo inafuatia kikao cha pamoja cha kamati ya Ulinzi na Usalama ya wilaya ambapo wamebainika kufanyika kwa ubadhirifu huo mwezi Oktoba mwaka 2015.

Mkurugenzi huyo amesema meneja huyo na muhasibu wake wamebainika kufanya ubadhirifu huo kwa kuagiza mita za maji zenye gharama za sh. milioni 98 kutoka Ujerumani ambapo walifanya hivyo huku kwa kukiuka sheria ya manunuzi.

Kwa upande wako mkuu wa wilaya ya Hai Anthony Mtaka na mbunge wa wilaya hiyo Mh. Freeman Mbowe wamesema kuwa mamlaka hiyo kwa kuwa ilikuwa inafanya kazi kama chombo kinachojitegemea kiasi cha kuleta mgogoro katika uendeshaji wake.

HABARI ZAIDI

Bajaji iliyotumika kubeba dawa za kulevya

Mtuhumiwa wa dawa za kulevya na mauaji mbaroni

Profesa Adolf Mkenda, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia

Mkakati mpya wa kuajiri walimu watangazwa Tanzania

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaabani, akiagana na Waziri wa Kodi wa Denmark, Mhe. Jeppe Bruus, baada ya kikao kando ya Mikutano ya Mwaka 2024 ya Bodi ya Magavana (Mawaziri wa Fedha kutoka nchi wanachama) wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Jijini Nairobi nchini Kenya.

Tanzania & Dernmark zitaboresha ya mifumo ya kodi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa January Makamba

Ziara ya Rais Samia Korea kuanza rasmi Mei 31 2024

Bw. Nazar Nicholas (katikati) akikabiziwa tuzo ya WSIS 2024

Tanzania yashinda Tuzo WSIS 2024, nchini Uswisi