Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Meya DSM adai viongozi wa Dini wamemuokoa

Jumatatu , 13th Jan , 2020

Meya wa jiji la Dar es salaam Isaya Mwita, amesema moja ya vitu ambavyo vimesaidia yeye kuendelea kusalia kwenye kiti chake cha Umeya ni maombi ya viongozi wa Dini, ambao walimuombea kabla ya kwenda kupigiwa kura kwenye kikao cha Baraza la Madiwani.

Meya wa jiji la Dar es salaam Isaya Mwita

Meya Mwita ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na EATV na EA Radio Digital, ambapo ameeleza kuwa, kwa sasa amesema wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani, kura za wajumbe hazikutosha na kumfanya yeye kuendelea kukaa ofisini.

Meya Mwita amesema kuwa "mimi silazimishi kukaa ofisini kama wanataka kunitoa mimi wafuate taratibu, haiwezekani watu wafoji kura baada ya kuwa na kura 17 wakasahau mmoja yuko nje ya nchi" amesema Meya wa DSM.

"Nilisema jana viongozi wa dini walifanya kazi waliniombea sana, tena nimeshangaa sana hawa watu wamefoji mchana kweupe, tena wala hawajakamatwa" ameongeza Mwita.

Tazama video kamili hapo chini.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava