Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mfahamu zaidi Dkt. Tulia Ackson mgombea Uspika

Alhamisi , 20th Jan , 2022

Alizaliwa  Novemba 23, 1976 katika Kata ya Bulyaga, Tukuyu Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya.

Dkt. Tulia Ackson

Dkt. Tulia alisoma elimu yake ya msingi na sekondari mkoani Mbeya na baadaye mwaka 1998-2003 alisoma sheria  Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam.

Mwaka 2005-2007 Dkt. Tulia alifanikiwa kusoma Shahada Ya Uzamivu Huko Cape Town, Afrika Kusini, na  

Baadaye alirudi Dar es Salaam na kuwa mkufunzi wa  Sheria Chuo Kikuu hadi Mwaka 2014 alipoteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kuwa Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba.

Mwaka 2015 alikuwa kati ya wabunge 10 walioteuliwa na Rais kuingia bungeni, na baadaye mwansheria huyu alichaguliwa kuwa naibu spika wa bunge la Tanzania mwaka 2015 hadi hii leo.

Baada ya Januari 6,2022, aliyekuwa spika wa bunge Job Ndugai kujiuzulu, chama cha mapinduzi CCM kilitangaza rasmi kuanza kwa mchakato wa kumtafuta spika mpya, mchakato ulioanza Januari 11- 15, 2022.

Taarifa ziliripoti kuwa watu 71 walijitokeza kuchukua fomu hizi za kuwania kiti cha uspika ikiwa pamoja na Dkt. Tulia Ackson, ambapo huu leo baada ya kamati kuu ya Halmashauri kuu kufanya kikao Jijini Dodoma wamemteua Dkt. Tulia Ackson kama mgombea wao kwenye nafasi hiyo.

Dkt. Tulia Ackson atatakiwa kujiuzulu unaibu spika wa bunge, jambo ambali litafungua lango la kuanza  kwa mchakato wa kumtafuta Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu