Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mgombea aeleza sababu ya kumnunulia Magufuli keki

Jumatano , 28th Oct , 2020

Mgombea ubunge wa jimbo la Ubungo kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Profesa Kitila Mkumbo, amesema kuwa mara baada ya kupiga kura, ataenda Mlimani City kumnunulia mgombea Urais wa chama hicho Dkt. John Magufuli, keki ya 'birthday', kwa lengo la kumtakia heri na mafanikio.

Kushoto ni mgombea ubunge wa jimbo la Ubungo, Profesa Kitila Mkumbo, na kulia ni mgombea Urais Dkt John Pombe Magufuli.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Oktoba 28, 2020, mara baada ya kukamilisha zoezi lake la upigaji wa kura, na kuahidi jambo hilo.

"Katika kutimiza miaka yake 61 nimnunulie keki, nimtakie afya njema na nimtakie mafanikio makubwa katika kuongoza Tanzania kwa awamu yake ya pili", amesema Profesa Kitila.

Zoezi la upigaji wa kura nchini Tanzania limeanza leo Oktoba 28, 2020, saa 1:00 asubuhi na kuhitimishwa saa 10:00 jioni na kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi jumla ya Watanzania Milioni 29 walikuwa wamejiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine