Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Mh Rais hali ni ngumu, achia pesa' - Mwananchi

Jumatano , 27th Nov , 2019

Mwanaume mmoja mkazi wa Igunga, mkoani Tabora, aliyejitambulisha kwa jina la Abel Mpinga, amemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli, kuachia pesa kwa kuwa sasa maisha yamezidi kuwa magumu, hali inayopelea akina Mama kunyang'anywa vifaa vyao kutokana na made

Abel Mpinga, Mkazi wa Igunga, aliyemuomba Rais Magufuli kuachia pesa.

Ombi hilo amelitoa leo Novemba 27, 2019, wakati Rais Magufuli aliposimama njiani kuwasalimia wakazi wa Igunga, ambapo mwanachi huyo alidai kuwa hali ya maisha imezidi kuwa ngumu hivyo ni vyema sasa pesa ikaachiwa.

"Mheshimiwa kama itakupendeza maisha ni magumu sana, fedha hakuna, watu wana hali mbaya, akina Mama wananyang'anywa Tv, Friji kwa mikopo midogomidogo, tunaomba uachie fedha, mengine yote hatuna tatizo na wewe yakikamilika haya hata ukitawala milele sisi hatuna shida" amesema Abel.

Akijibu ombi hilo, Rais Magufuli amesisitiza umuhimu wa kila mtu kufanya kazi kwa bidii.

"Usipofanyakazi hela zitaisha tu ni kweli wapo wanawake wenye pesa wanaoenda kuposa wanaume, sasa anayeoa mwanamke au mwanaume? cha bure hakipo hata mimi sina, kinachotakiwa ni kuchapa kazi, wewe ukitaka pesa nenda hata kwenye machimbo, mimi sikuja kuleta hela nimekuja kuwaambia mfanye kazi" amesema Rais Mgufuli.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine