Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Miili miwili yaokolewa feri DSM, mingine yatafutwa

Jumamosi , 28th Mei , 2016

Miili ya watu wawili imeokolewa eneo la Feri jijini Dar es sallm, baada ya boti iliyokuwa ikivusha abiria kupata ajali na kuzama.

Akiongea na East Afrika Television Kamanda wa Kikosi cha Wanamaji mkoa wa Ilala, Mboje Kanga, amesema tukio hilo lilitokea jana usiku, na mpaka sasa hawajapata idadi kamili ya watu waliokuwa kwenye boti hiyo, wala mmiliki wake bado hajajulikana.

“Mpaka sasa hatuna taarifa rasmi ila tukio lilitokea usiku, ila ni kwamba kulikuwa na boti inavusha watu feri, na idadi kamili ya waliokuwa kwenye boti hilo haijapatikana, na hata kilichotokea rasmi bado hatujajua, ila kuna maiti mbili zimepatikana mmoja anaitwa Shangali Ibrahim Bimbwa, na mwengine anaitwa Thomas Beatus Nyoni, na kuna watu watatu inasemekana wameokolewa ila hatujawapata, inaonekana walikimbia baada ya tukio”, alisema Kamanda Mboje.

Kamanda Mboje amesema huenda watu hao walikimbia baada ya kugundua ni kosa kuvusha watu kwa boti katika eneo hilo, na mpaka sasa shughuli za uchunguzi zinaendelea sambamba na kutafuta miili ya watu wengine,

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava