Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Milioni 470 zapotea jimboni kwa Mpina

Jumatatu , 28th Nov , 2022

Waziri wa TAMISEMI, Angellah Kairuki, ameagiza TAKUKURU kuchunguza matumizi ya shilingi milioni 470, zilizotolewa na serikali kujenga shule mpya ya Sekondari Mwanduitinje, iliyopo jimbo la kisesa wilaya ya Meatu, ambapo fedha hizo zimeisha kabla ya mradi kumalizika ujenzi wake.

Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina

Waziri Kairuki ametoa agizo hilo baada ya kufika shuleni hapo akiwa katika ziara yake ya kikazi, ambapo Kaimu Mkuu wa Divisheni ya Miundombinu, Maendeleo ya Miji na Vijijini Halmashauri ya Wilaya ya Meatu, Mwita Joram, aliiomba serikali nyongeza ya fedha shilingi milioni 264 ili kukamilisha mradi huo, hali iliyoonesha kumshtua Waziri huyo na kuagiza uchunguzi ufanyike haraka ndani ya siku saba kubaini kama kuna ufisadi.

"Tunachotaka majengo haya yakamilike, hatuwezi tukawa tumemwaga hela yote halafu tukayaacha hivi, ndiyo maana nikasema hebu Afisa wetu wa TAKUKURU aingie kazini kwa siku saba na nitaomba hiyo ripoti inayojitegemea, halafu na Mkaguzi wetu Mkuu wa Ndani na yeye pia aweze kufanya uchunguzi ," ameagiza Waziri wa TAMISEMI.

Kwa upande wake, Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina, amesema mkwamo wa mradi huo unawaathiri wanafunzi wanaotembea umbali wa kilomita 17 kwenda shuleni, hivyo ni muhimu hatua za haraka zichukuliwe ili Januari 2023, shule hiyo ianze kazi mara moja.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava