Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Mkapa alikuwa Jasiri naheshimu hilo"- Maalim Seif

Jumamosi , 25th Jul , 2020

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Maalim Seif Hamad amesema kuwa marehemu Benjamin William Mkapa alikuwa kiongozi jasiri na hakujali maamuzi yake kama wengine hawatoyafurahia.

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Maalim Seif Hamad

Akizungumza akiwa nyumbani kwa Mkapa Masaki Jijini Dar es salaam alipofika kutoa pole kwa familia leo Julai 25, 2020 amesema kuwa kiongozi huyo ni miongoni mwa watu walioshiriki na kusukuma kufanikiwa kwa maridhiano baada ya kutokea kwa mauaji Pemba mwaka 2001.

Amesema kuwa marehemu Mkapa alipenda kutumia kauli ya kuwa Tanzania si mali ya mtu, hivyo viongozi waliobaki wahakikishe wanamuenzi kwa vitendo.

"Alikuwa kiongozi imara, alipenda amani na maridhiano alihakikisha anasawazisha kila penye mgogoro. Pamoja na mengine ambayo hatukuyapenda ila naheshimu sana misimamo yake" amesema Maalim Seif.

Rais mstaafu Mkapa amefariki usiku wa kuamkia Julai 24, Jijini Dar es salaam na anatarajia kuagwa kwa siku tatu kuanzia Julai 26 hadi 28 katika uwanja wa taifa na Julai 29 atazikwa kijijini kwao Lupaso wilayani Masasi mkoani Mtwara.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA