Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Mkiguswa bampa za Ist mnaongeza foleni" - Makonda

Jumanne , 5th Nov , 2019

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaan, Paul Makonda, amesema kuwa angekuwa na uwezo wa kutunga sheria angeweka utaratibu ambao hautamtoza faini yoyote dereva wa gari atakayekwangua bampa la gari ya mtu mwingine.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda

Hayo ameyabainisha leo Novemba, 5, 2019, alipotembelea watoto wanaopatiwa matibabu ya moyo katika Taasisi ya Moyo, Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI) na kuwaomba watanzania kuendelea kujitokeza kwa wingi ili kuokoa uhai wa watoto wenye uhitaji.

"Mimi ningekuwa na uwezo wa kutunga sheria, binafsi ningesema mtu akikukwangua bampa achana naye tu wewe shuka kwenye gari angalia bampa yako, mwambie pole kwasababu wala hukukusudia.", amesema Makonda.

"Kuna watu mkiguswa tu bampa ya Vits au Ist mnabaki mpaka msongamano wa magari unakuwa mkubwa, ukiguswa kidogo kama gari yako haijaharibika msamehe tu mwenzio.", ameongeza Makonda.

Aidha Makonda amesema kuwa anataka kuufanya mwezi Disemba kuwa ni wa shukrani kwa kuwainua watoto wenye matatizo ya moyo wanaopitia maumivu makali huku wakiwa hawana tumaini lolote la kupona na kuwapeleka katika viwango vingine.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava