Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mkuu wa Mkoa atangaza msako

Jumamosi , 8th Dec , 2018

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila, ameagiza kuanza kwa msako na uhakiki wa vibali vya wamiliki wa silaha kwenye mkoa wake, lengo likiwa ni kudhibiti vitendo vya kiuhalifu vinavyotokana na matumizi mabaya ya silaha.

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila.

Mkuu wa Mkoa Chalamila ametoa agizo hilo kwa Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya mbele ya Kamanda wa Polisi Mkoa huo Matei, muda mfupi baada ya kukabidhi msaada binafsi wa magari mawili yenye thamani zaidi ya milioni 20 aliyotoa kwa jeshi hilo.

Chalamila amedai wapo wafanyabiashara wakubwa wanamiliki silaha kinyume cha taratibu na inawezekana matumizi yake yakawa mabaya pia, hivyo hiyo ikawa ni moja ya sababu inayochangia kuwa na ongezeko kubwa la vitendo vya uhalifu.

RPC inakupasa kutangaza upya zoezi la uhakiki wa silaha, anzia Chunya ambako kuna machimbo ya madini, kila mwenye silaha aeleze anaimiliki kwa ajili ya shughuli gani na tuone kama vibali vyake ni halali maana wakati mwingine watu wanajisahau sana,” amesema Chalamila.

Hivi karibuni Mkoa  huo uliingia kwenye sintofahamu baada ya wamachinga wa soko la Mwanjelwa wakitangaza mgomo kwa kile walichokidai kupinga amri ya Mkuu wa Mkoa kuhamishwa kwenye maeneo yao ya kazi.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa