Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mlinzi wa Meja Jenerali Mstaafu akamatwa

Jumatano , 13th Sep , 2017

Jeshi la Polisi linamshikilia mlinzi wa Meja Jenerali Mstaafu Vicent Mirataba na mfanyakazi mmoja wa benki kwa kuhusika kwa namna moja ama nyingine katika kupanga njama za shambulizi la Meja huyo lililotokea nyumbani kwake Ununio siku za hivi karibun

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar, Lazaro Mambosasa.

Hayo yameelezwa na Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi (SACP), Lazaro Mambosasa wakati alipokuwa anaongea na waandishi wa habari na kusema kwa mujibu wa muhusika amewaeleza kwamba majira ya mchana huwa analinda peke yake lindo hilo huku akiwa na silaha aina ya shortgun.

"Katika mazingira ya kushangaza mlinzi huyo aliweka silaha kinyume kabisa na maadili ya utunzanji wa silaha maana aliiweka juu ya kitanda, halafu akatoka mikono mitupu kwenda kuwapa ushirikiano waliyofanya uhalifu huo kwa kuwafungulia mlango na kutenda uhalifu", amesema Mambosasa.

Pamoja na hayo, Kamanda Mambosasa ameendelea kwa kusema "Alitueleza kwamba aliamriwa akimbie naye akatii bila ya shuruti lakini silaha yake akaiacha pale pale alipokuwa ameiacha awali na kurudi baadae, askari huyu ambaye tuna uhakika amepitia mafunzo ya JKT angekuwa askari kweli wa kuhakikisha usalama wa maeneo anayoyalinda asingeenda kufungua geti bila ya kuwa na silaha. Kwa hiyo mashaka hayo ya msingi yametufanya tumkamate kwa kuwa aliiacha silaha na kutopigwa kofi au kwenzi na hao wahalifu".

Kwa upande mwingine, Kamanda Mambosasa amesema wamemkamata mmoja wa wafanyakazi wa benki ambaye anadai alikuwa anawasiliana na mtu wa nje ya ofisi ili aweze kumfuatilia Meja Jenerali Vicent wakati alipotoka kuchukua fedha benki.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali